Sugested Lyrics from Diamond Platnumz

Far Away

goes to all the sexy ladies out there!S2kizzy babyInvincibleComme onOooh

Iyena

1: Diamond Leo Chereko cherekoMwanenu nimekuwaZile kuringa mideko itapunguaAhsante

Pamela

1: Diamond kako sexyPamela!Kiuno kama kazaliwa CongoEbu ni ka

Chanda Chema

chema huvishwa peteBasi pende nikupenda mi nikuvishe darlingHongera ya

Kizaizai

kama safariTwende fulani ukaoneKumu yana nguvu ni hatariUkishanasa ndio

Lala Salama

salamaMatatizo, chuki, la lala salamaKumbatia picha yanguKama ukinikumbuka sanaNipige

Mawazo

AM na uwezo, ningekunywa hata pombeIli nipunguze mawazoMana!Mchana kutwa

Abi

Baby take my heartTake all my soul and bodyAnything you wantI'll

Chacun pour soi

1: Papa ezolela est ce que ozoyokaMawa na nga

Fine

of all girl, I like the things that you

Fresh (Remix)

MeenTiddy 1: Fid Q & Diamond cash, nakua

Money

Solidstar & Diamond Solidstar & Diamond dem dey

Nidanganye

Diamond Platnumz & KGTPlatnumz, babyHollaHollaNikoShetta de Shetta de ShettaOkayShetta

Ongeza

Kwako Sikuingia MiguuMikono Hadi Kichwa Kiufupi MazimaNikiaminiiWakufa KuzikanaYani Hoi

Salome

hakidanganyi mamaUmejipodoa umepodokaMwendo na shepu, vyote mwananaMimi suruali yanidondokaTukimbizane nini

SETE (REMIX)

Young na na)Dali ngik’phethe-phethePhethe-phetheDali ngik’phethe-phethePhethe-phethe(Welcome to the 1:

Tetema (Remix)

whole world, MiamiThis is history in the makingCuba, RayvannyYeah you

Ukimuona

aliumba dunia, mapenzi tangu na tanguYashanipiga sasa, 'sina budi

Wasted Energy

1: Alicia want your loveDon't worry who I'm seein'

Yatapita[Remix]

Rockstar Mike Ft Diamond Platnumz"Yatapita yana mwishoIpo siku tutayasahau, watatuheshimu

We've prepared the official lyrics Yaya by Diamond Platnumz on rare-Lyrics.com.
The complete song text appears below.


[Intro: Rayvanny, Diamond Platnumz, Jux]
Oh lo lo lo lo lo
Chui
Yaya yaya yaya (We Zombie)
Yaya yaya ya (Haujui)
Yaya yaya yaya (S2Kizzy baby)
(Bad man)
Yaya yaya ya (ni Simba na ma Simba Dangote)
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya

[Verse 1: Rayvanny]
Eh, najua na madeni
Na matatizo ya kodi
Ila pesa ya pomba na shisha sikosi
Najua na vipengele
Watu wanapiga hodi
Ah, ila kuhonga mademu wazuri sichoki
Eh eh eh

[Pre-Hook: Rayvanny, DJ Ally Bi]
Kama umemchoka Tuachie sisi (Nasemaje)
Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi (Wewe)
Kama umemchoka Tuachie sisi (Asumani)
Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi
[Hook: Rayvanny, DJ Ally Bi]
Sawa nimeachika
Ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika
Nimeachika naburudika
Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika (Wewe)

[Refrain: All, DJ Ally Bi]
I am a disco dancer (Asumani)
I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer

[Chorus: Rayvanny, Diamond Platnumz]
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya (We Zombie)

[Verse 2: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]
Ongeza tena zikiisha zikisha
Mwaga tano tano zidisha zidisha
Bebe ikijipitisha pitisha
Usiku mboga naichumisha chumisha
Eh, wanajita wamjini
Wakati bebe zao tunazila chin chin
Eh, mabisho bling bling
Kazi kulamba lips kitandani no engine
Ladies
Simba, we want that thing
Long long thing
Shoka mpini
Wambie sie mbwa ka wao paka
Wajifunze zungumza kwa mipaka
Demu wako hakufosiwa shanapa
Shobo zake mwenyewe kaitaka (Wewe)
[Pre-Hook: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]
Kama umemchoka Tuachie sisi (Nasemaje)
Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi (Wewe)
Kama umemchoka Tuachie sisi (Asumani)
Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi

[Hook: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]
Sawa nimeachika
Ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika
Nimeachika naburudika
Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika (Wewe)

[Refrain: All, DJ Ally Bi]
I am a disco dancer (Asumani)
I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer

[Chorus: Rayvanny, Jux]
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya (Bad man)
[Verse 3: Jux]
Wahuni ndani wananyonga wida
Ukitaka puff pass njoo barida
Ashura, amina njoo farida
Waambie bwana zenu hatutaki shida (hey)

[Pre-Hook: Jux, DJ Ally Bi]
Kama umemchoka Tuachie sisi (Nasemaje)
Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi (Wewe)
Kama umemchoka Tuachie sisi (Asumani)
Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi

[Middle 8: Rayvanny, Jux]
Show me what you got
Chikiti chikiti chikiti chiki
Chikiti chikiti
Unachezaje
Chikiti chikit chikiti chiki
Chikiti chikiti
Show me what you got
Chikiti chikiti chikiti chiki
Chikiti chikiti
Unachezaje
Chikiti chikit chikiti chiki
Chikiti chikiti

[Hook: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]
Sawa nimeachika
Ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika
Nimeachika naburudika
Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika (Wewe)

[Refrain: All, DJ Ally Bi]
I am a disco dancer (Asumani)
I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer

[Chorus: Rayvanny]
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya
Yaya yaya yaya
Yaya yaya ya

[Outro]
Ka mix Lizer

FAQ: Yaya by Diamond Platnumz

Q. Who sings Yaya

A. The hit track Yaya is performed by Esm Diamond Platnumz

Q. Who wrote the lyrics for Yaya

A. All lyrics are written by Diamond Platnumz

Hope you enjoyed reading the lyrics Diamond Platnumz - Yaya

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

DMCS Policy Privacy Policy

© 2025 «lyrics». All rights reserved.