Sugested Lyrics from Diamond Platnumz

Far Away

goes to all the sexy ladies out there!S2kizzy babyInvincibleComme onOooh

Kidogo

the awesome)NtamuWasafiKidogo dogo, ah kidogo kileKidogo dogo, ah kidogo kileKidogo

Waka

Diamond Platnumz & Rick MusicThe black bottle :

Natamani

kweli natamaniSIku iwezekaneNifumbue macho mi kuonaNijue sababu gani(Ni) Unanipenda sanaWakati

Bado

RecordsAh, 1: kidomo wazi, nikifuta na machoziHuku

Kamwambie

kamwambie (uh huh)Jinsi navyo mpenda mi (uh huh)Na kama mapenzi

Katika

yeahNo, no(Nahreel on the ehKatikaKatika... ehKatikaKatika...

Kizaizai (Remix)

mapenzi yanauma (Kizaizai)Yanaumiza (Kizaizai)Oh, kizunguzungu (KIzaizai)Jama mapenzi mabaya (Kizaizai)Weza gombana

Komasava (Comment Ça Va) [Remix]

Jason Derulo, Diamond baby)Jason Derulo (Ni Simba 1:

Make Me Sing

1: something you all I wantCan’t tell me

Mapenzi au Pesa

Nay Wa Mitego & Diamond Haya we(Iye) Haya, haya

Mbagala

mmh mmh mmhMmmh na upoleNa hekima nilorithi kutoka

Moyo

pole, pole, polePole, pole moyo wanguMasikini polePole mtima wanguHaikuwa

Naogopa

Mapenzi chengaYakikupiga unasurrenderNa wengi wakipendwaWanasahau kuna kutendwaMapenzi chengaYakikupiga unasurrenderNa wengi wakipendwaWanasahau

Oka

ashika, ashiLe general DangoteAshi, ashika, ashiKirungi bin 1: Diamond

Quarantine

: Diamond Show Me Your Quarantine (Eeh!)Quarantine (Okey)Quarantine Moves

Shusha

Both, Baba saa la maangamizoHili chama la matatizo(S2Kizzy, baby)Mmmh

Tetema

twende tetema (oh, mama tetema)Tipwatipwa tetema (oh, mama tetema)Aya

Tetema (Loh Ra remix)

Rayvanny ft Diamond platnumz_-_Tetema (Loh Ra remix)Chorus;TetemaTetemaTetemaVerseTetemaKama kakupiga ngetaTetemaTetemaChorus;TetemaTetemaTetemaVerse 2Hoi mama,

Yo Pe (Remix)

Diamond Platnumz & timbiNa timbeli yo(Wasafi...)Yuma n'o kaka t's

We've prepared the official lyrics Zuwena by Diamond Platnumz on rare-Lyrics.com.
The complete song text appears below.


Mhhh!! Habari gani kaka naamini unanisikia
Mimi mzima wa afya, mama Mungu anasaidia
Toka ulipotuacha mahututi anazidiwa
Bibi presha presha nae akatangulia

Bado twakuombea ulale salama pema
Japo moyoni nina dukuduku
Natamani kusema, nisemeee
Zile mali husia ulizotuhusia tuligawa salama
Zuwena zote tukampatia tusiwe ndugu lawama
Ila Zuwena kaka amebadilika sana
Yaani shem lake Bi Zuuh wa leo sio yule wa jana

Natamani ungemuona (Zuwena)
Japo ungemuona (Zuwena)
Kidogo tu ungemuona (Zuwena)
Ungemuona (Zuwena)
Ooooh ungemuona (Zuwena)
Aaaah Zuwena (Zuwena)
Ooooh ungemuona Zuwena (Zuwena)
Zuwena oooh (Zuwena)

Mhhh! Zuwena sasa kawa chotara
Sio tena cheusi mangala
Ngozi kaichubua awe muzungu
Anavuta na sigara
Mara Boko, Mwananyamala
Anachezesha tu miamala
Kutwa anaisugua kipepе rungu tena peku bila ndala
Aaah Zuwena siku hizi anabandika kopе (Zuwena)
Zuwena mipasuo kama yote (Zuwena)
Ooh Zuwena lipa shika tuondoke (Zuwena)
Aah Zuwena wanamuita cha wote, oh!, oh!
Juzi kabebwa na majirani hata hajitambui (Zuwena)
Yaani kalewa tafarani kautwika mbwi (Zuwena)

Zuwena sio tena wa ibada na dini
Sadaka chenji asaidie
Siku hizi kageuka pedeshee wa mjini
Kutunza bendi wamsifie
Na lile gari lako urithi wa babu la kulishia ng'ombe
Siku hizi kama kwato kwenye vilabu linabebea pombe
Mama Dede kitandani hawezi hata kutembea
Zuwena ameshindwa hata kuja kumuona panadol kumletea

Natamani ungemuona (Zuwena)
Japo ungemuona (Zuwena)
Kidogo tu ungemuona (Zuwena)
Ungemuona (Zuwena)
Ooooh ungemuona (Zuwena)
Aaaah Zuwena (Zuwena)
Ooooh ungemuona Zuwena (Zuwena)
Zuwena (Zuwena)

Siku hizi kataradadi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anajiita J-Lo
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Eti mzungu mweusi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anatunyoosha baba
Anadanga anakula ndizi kwa maganda

FAQ: Zuwena by Diamond Platnumz

Q. Who sings Zuwena

A. The hit track Zuwena is performed by Esm Diamond Platnumz

Q. Who wrote the lyrics for Zuwena

A. All lyrics are written by Diamond Platnumz

Hope you enjoyed reading the lyrics Diamond Platnumz - Zuwena

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

DMCS Policy Privacy Policy

© 2025 «lyrics». All rights reserved.